Back to home
Vijana katika mji wa Nanyuki Kaunti ya Laikipia washauriwa kutoharibu mali iwapo wataandamana
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
2h ago
Vyombo vya usalama katika mji wa Nanyuki, Kaunti ya Laikipia, vyandaa kikao na vijana katika mtaa wa Likii, kwa lengo la kuzuia maafa na uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya umma.
Advertisement
Advertisement




