Back to home

Mafunzo ya usalama barabarani kwa wanabodaboda Kitui

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 19, 2026
3h ago
Waendesha bodaboda zaidi ya 300 katika Kaunti ya Kitui wapata mafunzo ya usalama barabarani na uwezeshaji wa kiuchumi kupitia mpango uliofadhiliwa na Mogo Kenya.
Advertisement