Back to home

Watu watatu wajeruhiwa kwa risasi katika vurugu Kuresoi North

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 19, 2026
1h ago
Watu watatu wamepigwa risasi na kujeruhiwa katika eneo la Bunge la Kuresoi North, Kaunti ya Nakuru, baada ya Mbunge wa eneo hilo Alfred Mutai kufika katika mkutano uliokuwa umeandaliwa na Gavana wa Nakuru Susan Kihika akiwa na kundi la vijana na kujaribu kuvuruga mkutano huo. Waa
Advertisement