Back to home

Kizaazaa mazishini huku mbunge Peter Salasya kufurushwa na wafuasi wa Benjamin Washiali

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 20, 2026
2h ago
Kizaazaa kilizuka kwenye mazishi ya nduguye gavana wa Kakamega marehe Silas Barasa katika shule ya Khabondi eneo bunge la Mumias Mashariki baada ya mbunge wa eneo hilo Peter Salasya kufurushwa na wafuasi wa aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Benjamin Washiali. Subscribe and watch NT
Advertisement