Back to home

Wapigaji makasia 50 waingia kikosi cha Taifa kuelekea Kombe la Dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 20, 2026
2h ago
Jumla ya wapigaji makasia 50 wameteuliwa kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Kenya kinachojiandaa kwa michuano ya Kombe la Dunia ya upigaji makasia itakayofanyika nchini mwezi Julai. Katika mchujo wa kitaifa wa siku mbili uliowashirikisha zaidi ya wanariadha 120, wachezaji h
Advertisement