Back to home

Mathew Letua asherehekea kwa kufanikisha ndoto ya elimu licha ya ukosefu wa usalama Kerio

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 20, 2026
2h ago
Uvamizi wa mara kwa mara na mashambulizi ya majangili katika bonde la Kerio haukumzuia Mathew Letua kufanikisha ndoto yake ya elimu. Letua anasema karibu alipigwa risasi miaka ya nyuma, lakini changamoto hizo hazikumzuia kuendelea na masomo hadi kufikia elimu ya juu, akihitimu k
Advertisement