Back to home

Wachimba madini wa Taita Taveta wapata afueni baada ya kuanza kwa usafirishaji wa madini ya chuma

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 22, 2026
1h ago
Ni afueni kwa wachimba madini katika Taita Taveta County baada ya kampuni moja ya uchimbaji wa madini ya chuma kuanza kusafirisha madini hayo hadi kwenye mtambo ulioko eneo la Manga. Hatua hiyo inatarajiwa kuimarisha shughuli za uchimbaji, kuongeza ajira na kuinua uchumi wa wakaz
Advertisement