Back to home

Kamishna wa ukanda wa masharik Jacob Muganda awaonya wahalifu wakati wa maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
2h ago
Kamishna wa kanda ya Mashariki Jacob Muganda atoa onyo kali dhidi ya vitendo vya vurugu, uporaji, uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Gen Z yapangwayo kufanyika alhamisi .
Advertisement