Back to home

Wazee na vijana Trans Nzoia wataka usawa kwenye uteuzi wa wanaowania ugavana

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
2h ago
Baadhi ya wazee na vijana katika Kaunti ya Trans Nzoia wautaka uongozi wa muungano wa Kenya Kwanza kuhakikisha kuwa wote wajitokezao kuwania tiketi ya ugavana wapewa nafasi sawa katika mchakato wa uteuzi wa mgombea wa muungano huo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027
Advertisement