Back to home

Akina mama walioathiriwa na wizi wa mifugo wahimizwa kujiunga na vikundi vya uwekezaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
2h ago
Akina mama katika maeneo ya Loborngare, Lolmolog na Longewan walioathiriwa na wizi wa mifugo wamehimizwa kujiunga na vikundi vya uwekezaji ili kujikwamua kiuchumi na kuboresha maisha ya familia zao. Wengi wao wamesema wamekumbwa na umaskini baada ya kupoteza mifugo ambayo ilikuwa
Advertisement