Back to home
Viongozi wa kanisa Katoliki kutafuta suluhu ya machafuko Kitengela
video
C
Citizen TV (Youtube)June 24, 2026
1h ago
Kanisa Katoliki katika mji wa Kitengela, Kaunti ya Kajiado kwa ushirikiano na wafadahili wengine, latarajiwa kutumia makala ya tatu ya Mbio za Kijamii kuhubiri umoja, amani na mshikamano miongoni mwa vijana. Viongozi wa kanisa hilo wasema Kitengela imekuwa kitovu cha machafuko ki
Advertisement
Advertisement





