Back to home
Sekta ya ubunifu yapata msukumo baada ya mfumo wa mrabaha kuunganishwa na e-Citizen
video
C
Citizen TV (Youtube)June 24, 2026
2h ago
Sekta ya ubunifu nchini inatarajiwa kunufaika na mabadiliko makubwa kufuatia kutiwa saini kwa makubaliano ya kuunganisha mfumo wa ukusanyaji na usambazaji wa mrabaha na jukwaa la eCitizen Kenya. Hatua hiyo inalenga kuboresha uwazi, kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya
Advertisement
Advertisement





