Back to home

Waziri wa Usalama Murkomen aongoza mkutano wa kutafuta suluhu ya mzozo wa ardhi Angata Barrikoi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 24, 2026
2h ago
Kipchumba Murkomen ameongoza mkutano wa kutafuta suluhu ya mzozo wa ardhi katika eneo la Angata Barrikoi. Mkutano huo uliowaleta pamoja viongozi wa serikali, wazee wa jamii na wadau mbalimbali ulilenga kutafuta njia ya kudumu ya kumaliza mgogoro huo na kuimarisha amani, usalama n
Advertisement