Back to home
Vijana wahimizwa kusomea huduma za wahudumu wa wakongwe
video
C
Citizen TV (Youtube)June 24, 2026
5h ago
Kufuatia ongezeko la idadi ya wakongwe wanaohitaji huduma za uangalizi uzeeni, vijana wanaojiunga na vyuo vya kiufundi wametakiwa kujisajili kwa kozi ya huduma kwa wakongwe ili kusaidia kuziba pengo la wahudumu wanaohitajika.
Wito huo umetolewa katika hafla ya pili ya kufuzu kwa
Advertisement
Advertisement





