Back to home
Wazazi Vihiga wahimizwa kulinda wasichana dhidi ya dhuluma za kijinsia
video
C
Citizen TV (Youtube)June 2, 2026
3h ago
Wazazi katika Kaunti ya Vihiga County wamehimizwa kuwalinda watoto wao wa kike dhidi ya dhuluma za kijinsia na ubakaji, huku visa vya ukatili huo vikizidi kuripotiwa katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





