Back to home
Kaunti ya Kilifi yapiga hatua kupambana na dhuluma za kijinsia
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 17, 2026
2h ago
Kaunti ya Kilifi imepata afueni kubwa katika vita dhidi ya dhuluma za kijinsia kufuatia kuzinduliwa kwa kituo cha uokoaji cha Kimbilio Safe House, hifadhi mpya yenye vitanda 48 kwa ajili ya waathiriwa katika eneo bunge la Kilifi Kaskazini.
Subscribe and watch NTV Kenya live for
Advertisement
Advertisement




