Back to home
Gavana wa kaunti ya vihiga dkt.Wilber Ottichilo azindua miradi ya umwagiliaji maji mashamba
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Gavana wa kaunti ya vihiga dkt.Wilber Ottichilo aongoza hafla za uzinduzi wa miradi ya umwagiliaji maji ya banja na hamuyundiya itakayogharimu zaidi ya shilingi milioni 50 katika maeneo bunge ya sabatia na hamisi .
Advertisement
Advertisement




