Back to home
Nandi: Viongozi waitaka serikali kuimarisha sheria za kulinda watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 21, 2026
5h ago
Viongozi wa elimu na dini katika Kaunti ya Nandi wameitaka serikali pamoja na Bunge kuimarisha sheria za kulinda watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia na kuhakikisha wahusika wanakabiliwa na adhabu kali.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday
Advertisement
Advertisement





