Back to home
Wafugaji wapigwa jeki huko Birbiriet, kaunti ya Trans Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)June 26, 2026
2h ago
Kenya yaendelea kuimarisha nafasi yake kama kinara wa uzalishaji wa maziwa barani Afrika, hatua itajwayo kuwa matokeo ya juhudi za wafugaji na uwekezaji uendeleao katika sekta ya mifugo.
Advertisement
Advertisement




