Back to home
Wakulima wa miwa katika kaunti ya Bungoma wapokea vyema uamuzi wa mahakama ya Vihiga
video
C
Citizen TV (Youtube)June 26, 2026
2h ago
Baadhi ya wakulima wa miwa katika kaunti ya Bungoma waupokea vyema uamuzi wa mahakama ya Vihiga wa kusitisha uchaguzi wa mkurugenzi wa masuala ya miwa kwenye bodi ya sukari nchini ulioratibiwa kufanyika.
Advertisement
Advertisement




