Back to home
Chama cha Biashara na Viwanda nchini, KNCCI, chaanzisha mpango wa kutoa nafasi za elimu kwa vijana
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 26, 2026
1h ago
Huku kizazi cha Gen Z kikiandaa Mandamano ya kila mwaka kulalamikia ukosefu wa ajira na changamoto nyingine, Chama cha Biashara na Viwanda nchini (KNCCI) kimeanzisha mpango wa kutoa nafasi za elimu kwa vijana kuelimika kuhusu ujasiriamali.
Subscribe and watch NTV Kenya live for
Advertisement
Advertisement





