Back to home
Mwili wa binti Ruth Moraa wazuiliwa hospitalini baada familia kukosa pesa za kulipa bili ya hospital
video
C
Citizen TV (Youtube)June 26, 2026
3h ago
Mwilli wa mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu kutoka Kisii kwa jina Ruth Moraa wazuiliwa ndani ya makafani ya hospitali ya Kisii kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana na madeni. Familia ya marehemu yasema kati ya shilingi laki tisa zihitajikazo, wafanikiwa kupata tu shilingi 23, 000.
Advertisement
Advertisement





