Back to home
NTSA yataka ukaguzi wa kila mwaka kwa magari ya zaidi ya miaka minne
video
C
Citizen TV (Youtube)June 26, 2026
1h ago
Kuanzia tarehe 1 Julai 2026, wamiliki wote wa magari ya zaidi yaliyozidi miaka minne kutoka siku ya utengenezaji watalazimika kupeleka magari yao yakaguliwe kila mwaka. hii ni kulingana na Kanuni Mpya za Ukaguzi wa Magari zilizotangazwa na Mamlaka ya usalama barabarani- NTSA. Ma
Advertisement
Advertisement





