Back to home
Gachagua ajitetea kuhusu kutoshiriki maandamano
video
C
Citizen TV (Youtube)June 27, 2026
1h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amejitetea dhidi ya madai ya kukosa kufika kwenye maandamano ya kumbukumbu ya Juni 25, akisema kuwa uwepo wake ungezua vurugu kutokana na madai ya kuandamwa.
Akizungumza nyumbani kwake Wamunyoro, Gachagua amesema kutoshiriki kwake kwenye maandamano
Advertisement
Advertisement





