Back to home

Murkomen amshutumu Gachagua kwa siasa chafu.

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 27, 2026
1h ago
Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen amemsuta kinara wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, kwa kile anachodai ni kufanya siasa za uhuni. Murkomen amesema kuwa Gachagua anaendeleza siasa chafu na hastahili kuongoza.
Advertisement