Back to home
Watoto waathirika huku shule ikisalia kufungwa kwa miaka mitano Garissa.
video
C
Citizen TV (Youtube)June 27, 2026
2h ago
Zaidi ya miaka mitano baada ya mzozo wa kijamii kuzuka katika kijiji cha Kambi Samaki, eneo bunge la Lagdera kaunti ya Garissa, shule ya msingi ya eneo hilo imesalia kufungwa.
Shule hiyo ambayo zamani ilikuwa kitovu cha elimu katika eneo hilo sasa imegeuzwa kuwa makazi ya maafis
Advertisement
Advertisement




