Back to home

NCIC yaahidi kudhibiti semi za uchochezi majukwaani

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 28, 2026
2h ago
Tume ya Uwiano na Utangamano Nchini (NCIC) imesema itawapiga darubini viongozi wa kisiasa ili kudhibiti semi za uchochezi ambazo zimekuwa zikienea katika majukwaa mbalimbali ya kisiasa. Akizungumza baada ya kuhudhuria ibada katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa tume hiyo Kepha
Advertisement