Back to home

Baba ajitosa kuhamasisha kuhusu ugonjwa wa selimundu

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 28, 2026
2h ago
Takriban watoto elfu 14 huzaliwa na ugonjwa wa selimundu nchini kila mwaka huku changamoto za matibabu zikiendelea kushuhudiwa. Ugonjwa huo umeendelea kuwa miongoni mwa maradhi yanayoripotiwa kwa wingi huku baadhi ya familia za waathiriwa zikieleza wasiwasi kuhusu kile wanachose
Advertisement