Back to home
Vijana wa Cherang'any waanzisha kampeni ya amani na uwezeshaji
video
C
Citizen TV (Youtube)June 29, 2026
1h ago
Huku uchaguzi mkuu ukikaribia, vijana katika Eneo Bunge Cherang'any wameanzisha vuguvugu la kuhamasisha wenzao kuhusu uwezeshaji wa kiuchumi na umuhimu wa kudumisha amani. Wamewataka vijana kujiepusha na ukabila, uhalifu, matumizi ya dawa za kulevya, vurugu za kisiasa na vitendo
Advertisement
Advertisement




