Back to home

Jamii ya Wabajuni Kilifi yataka nafasi zaidi za ajira

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 29, 2026
1h ago
Baraza la jamii ya Wabajuni walio wachache katika Kilifi kaunti limetoa wito kwa serikali ya kaunti na serikali ya kitaifa kuhakikisha jamii hiyo inapewa nafasi zaidi za ajira. Viongozi wa jamii wanasema hatua hiyo itasaidia kuimarisha ushirikishwaji, kupunguza ukosefu wa ajira n
Advertisement