Back to home

Familia ya Bungoma yataka msaada kurejesha mwili kutoka DRC

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 30, 2026
2h ago
Familia moja kutoka Bungoma inaitaka Wizara ya Mashauri ya Nchi za Kigeni kuwasaidia kupata mwili wa mpendwa wao aliyefariki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Wycliffe Maketi alifariki katika mazingira tata huku familia ikipokea taarifa kinzani kuhusu kiini cha kifo
Advertisement