Back to home
Wakenya watoroka Afrika kusini
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2026
1h ago
Wakenya zaidi ya 200 walio nchini Afrika Kusini watoa maombi ya kutaka kurejeshwa Kenya kufuatia maandamano makubwa yaendeleayo kuwafurusha wahamiaji wa kigeni nchini humo. Wakenya 26 tayari wawasili nchini na wengine 63 wakitarajiwa kuwasili leo. Hali yaendelea kuwa tetea katika
Advertisement
Advertisement




