Back to home
Junior Starlets yaelekea Afrika Kusini kwa mechi ya kufuzu Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2026
1h ago
Kikosi cha Junior Starlets kimeondoka kuelekea Afrika Kusini kwa mechi ya kwanza ya kufuzu Kombe la Dunia la Wanawake kwa wachezaji wa chini ya miaka 17 dhidi ya wenyeji Bantwana, itakayochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Lucas Moripe mjini Pretoria.
Kikosi hicho kinachonolewa na
Advertisement
Advertisement





