Back to home
Katibu wa maendeleo ya maeneo kame Dkt. Caroline Karugu ashinikiza miradi ikamilike
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
2h ago
Katibu Mkuu wa Idara ya maendeleo ya maeneo Kame na maendeleo ya Kikanda, Dkt. Caroline Karugu aongeza juhudi kusukuma kukamilika kwa miradi ya mamlaka ya maendeleo ya Pwani (CDA) katika Kaunti ya Kilifi.
Advertisement
Advertisement





