Back to home
Wanafunzi warejea Utumishi Girls Academy
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
1h ago
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya wasichana ya Utumishi Girls Academy huko Gilgil wamerejea shuleni baada ya kufungwa kufuatia mkasa wa moto uliowateketeza wanafunzi 16. Wanafunzi hao 151 pamoja na wazazi wao wamepewa ushauri nasaha walipowasili shuleni huku wasimamisi
Advertisement
Advertisement




