Back to home
Katibu Fikirini atoa taarifa kuhusu kifo cha Cecil Ouma
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
1h ago
Katibu wa Wizara ya Vijana na Michezo, Fikirini Jacobs, ameandikisha taarifa kuhusiana na kifo cha kijana Cecil Ouma, aliyepigwa risasi kwa njia tata ndani ya gari linalohusishwa naye katika Barabara ya Park Road, Nairobi. Fikirini, aliyefika katika makao makuu ya polisi kutoa ta
Advertisement
Advertisement




