Back to home
Familia zataka majibu kuhusu wanaharakati wanaodaiwa kutekwa nyara
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
1h ago
Familia za watu watatu wanaodaiwa kutekwa nyara na polisi wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Gen Z ya Juni 25 zinataka majibu kutoka kwa serikali kuhusu waliko jamaa zao. Familia za MacMillan Kiarie, Evans Otieno na Michael Oloo zinataka jamaa zao waachiliwe waliko au wafikish
Advertisement
Advertisement





