Back to home
Jamii za maziwa ya baringo na Bogoria zahifadhi mbegu za kiasili
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2026
2h ago
Jamii ziishizo kando ya maziwa Baringo na Bogoria zaanza kutegemea hifadhi za mbegu za kijamii za asili na kuimarisha uzalishaji wa chakula huku maji ya ziwa iendeleayo kuongezeka yakiharibu mashamba.
Advertisement
Advertisement





