Back to home

Jamii za maziwa ya baringo na Bogoria zahifadhi mbegu za kiasili

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
2h ago
Jamii ziishizo kando ya maziwa Baringo na Bogoria zaanza kutegemea hifadhi za mbegu za kijamii za asili na kuimarisha uzalishaji wa chakula huku maji ya ziwa iendeleayo kuongezeka yakiharibu mashamba.
Advertisement