Back to home

Serikali ya kaunti ya Nandi yaanzisha mpango wa kufadhili elimu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
2h ago
Serikali ya Kaunti ya Nandi yaanzisha mpango wa mafunzo bila malipo ili kuwapa vijana ujuzi katika fani mbalimbali zikiwemo uashi, ufundi wa mabomba, kutengeneza vifaa vitumiavyo umeme na taaluma zinginezo.
Advertisement