Back to home

Mtoto Angel auawa baada ya kunajisiwa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 3, 2026
1h ago
Imebainika kuwa mwanafunzi wa gredi ya sita katika shule ya msingi ya Lugala eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega aliyepatijnaka ameuliwa alinajisiwa kabla ya kunyongwa na baadaye kutupwa kwenye shimo la choo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement