Back to home
Upinzani kukata rufaa kuhusu uuzaji wa hisa za Safaricom
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani wakiongozwa na kinara wa Chama cha Wiper Patriotic Front, Kalonzo Musyoka, wamesema watakata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama ya Rufaa ulioruhusu uuzaji wa asilimia 15 ya hisa za kampuni ya Safaricom kwa kampuni ya Vodacom ya Afrika Kusini. Majaji wa Mahakama
Advertisement
Advertisement





