Back to home
Kenya Kwanza yakashifu siasa za upinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2026
1h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wamewakashifu wenzao wa upinzani kwa kile wanachokitaja kuwa siasa za kuwapotosha wananchi badala ya kujadili utendakazi wa serikali. Viongozi hao wametetea rekodi ya maendeleo ya Rais William Ruto, wakisema Wakenya wanajionea wenyewe matokeo ya utendakaz
Advertisement
Advertisement



