Back to home
Kamanda awaonya wanasiasa dhidi ya kuunda wanamgambo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 4, 2026
2h ago
Kamanda wa Polisi Ukanda ya Pwani, Ali Nuno, amewaonya wanasiasa wa Kaunti ya Tana River dhidi ya kuunda makundi ya wanamgambo wenye silaha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.
Advertisement
Advertisement




