Back to home
Maafisa wa polisi waonya wakaazi wa Nanyuki dhidi ya kuandamana tarehe 25 mwezi wa Juni
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 19, 2026
5h ago
Maafisa wa polisi katika mji wa Nanyuki, kaunti ya Laikipia wamewataka kutokubali kuzua vurugu katika juhudi za kuzuia vifo na uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya umma yanayotarajiwa kufanyika wiki ijayao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and
Advertisement
Advertisement





