Back to home

Serikali yatenga shilingi bilioni mbili ya kupandisha vyeo zaidi ya walimu 50,000

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 6, 2026
4h ago
Serikali imetenga shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kuwapandisha vyeo zaidi ya walimu elfu hamsini nchini ambao, wamehudumu kwa muda mrefu katika madaraja yale yale. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya
Advertisement