Back to home

Junior Starlets yarejea nyumbani yakisaka tiketi ya Kombe la Dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 6, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Junior Starlets, imerejea nchini kutoka Afrika Kusini baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mkondo wa kwanza wa mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Kikosi kinachonolewa na Mildred Cheche sasa kinaelekeza nguvu zake kweny
Advertisement