Back to home
Shule ya Nyabisase yakadiria hasara baada ya vurugu baina ya walimu na wanafunzi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 7, 2026
2h ago
Shule ya Nyabisase huko Kisii imeendelea kukadiria hasara, siku moja baada ya vurumai kati ya wanafunzi na walimu. Wasimamizi wa shule wakieleza namna mambo yalivyokuwa kabla ya wanafunzi na walimu kuanza kurushiana mawe, kwenye kisa kilichosababisha kufungwa kwa shule hiyo
Advertisement
Advertisement





