Back to home
Wazee wa jamii ya Adola kaunti ya Garissa wamemuidhinisha Ali Abdi kuwania ubunge Banisa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 8, 2026
1h ago
Mwanasiasa Ali Adan Abdi amepokea rasmi uungwaji mkono kutoka kwa wazee wa ukoo wa Adola pamoja na wanajamii wa Garre katika mkutano uliofanyika Banisa, Kaunti ya Mandera. Uidhinishaji huo unaonekana kuwa hatua muhimu katika azma yake ya kuwania kiti cha ubunge wa Banisa katika U
Advertisement
Advertisement





