Back to home

Familia ya mtoto aliyeaga dunia shuleni yapinga maelezo ya shule

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 8, 2026
2h ago
Familia moja katika eneo la Narumoru, Kaunti ya Nyeri, imegubikwa na majonzi kufuatia kifo cha mwana wao wa miaka miwili aliyefariki akiwa shuleni. Kulingana na familia hiyo, usimamizi wa shule unadai kuwa mtoto huyo alikanyagwa na gurudumu la nyuma la basi la shule baada ya kus
Advertisement