Back to home

Mlinzi wa katibu wa wizara ya vijana Rashid Charo aachiliwa kwa dhamana ya 20,000

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 9, 2026
1h ago
Mlinzi wa katibu wa wizara ya vijana, Rashid Charo, ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi elfu ishirini huku wapelelezi wakiomba muda zaidi wa kukusanya ushahidi.
Advertisement